MWANAMUZIKI Che Mundugwao pichani alikuwa na kilio cha muda mrefu juu upotoshwaji wa habari za muziki kwa kuwa Waandishi wengi haufahamu muziki kinadharia kwa kushindwa kutofautisha aina ya mitindo ya muziki na wanamuziki.Hivyo kwa kupitia Shirikisho Tanzania Federation Musicic Journalists (TFMJ) lililoundwa na baadhi ya waandishi.
Kwa kupitia TFMJ changamoto nyingi zitapata utatuzi hivyo wanahabari watatambua namna ya kutofautisha wanamuziki na miondoko ya nyimbo zao.
No comments:
Post a Comment